Psalms 39:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na sasa, ee Bwana, ninatazamia nini? Tumaini langu ni kwako wewe!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana? Matumaini yangu ni kwako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na sasa, ee Bwana, ninatazamia nini? Tumaini langu ni kwako wewe!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana? Matumaini yangu ni kwako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na sasa, ee Bwana, ninatazamia nini? Tumaini langu ni kwako wewe!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sasa ningojee nini, Bwana wangu? Ninakungojea wewe peke yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana? Matumaini yangu ni kwako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kweli, kila mutu anapita kama kivuli; masumbuko yake yote ni bure tu; anakusanya mali, hajui atakayeipata!