Psalms 50:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utaniheshimu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
na uniite siku ya taabu; nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ukaniite siku ya mateso; Nitakuokoa, na wewe utanitukuza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utaniheshimu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
na uniite siku ya taabu; nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
na uniite siku ya taabu; nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utaniheshimu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku, utakaposongeka, uniite! Ndipo, nitakapokuokoa, kisha unitukuze!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ukaniite siku ya mateso; Nitakuokoa, na wewe utanitukuza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”