Psalms 51:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Unitakase kwa husopo, nitakate; unioshe niwe mweupe pe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi, unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Unitakase kwa husopo, nitakate; unioshe niwe mweupe pe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Unioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi, unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi, unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Unitakase kwa husopo, nitakate; unioshe niwe mweupe pe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Unaona, wao, niliozaliwa nao, walikuwa wenye manza, mama yangu aliipata mimba yangu kwa kukosa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi ni mukosaji tangia kuzaliwa kwangu, mwenye zambi tangia tumbo la mama yangu.