Psalms 53:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu anawaangalia wanadamu kutoka mbinguni, aone kama kuna yeyote mwenye busara, kama kuna yeyote anayemtafuta Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Toka mbinguni MUNGU aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye akili, Amtafutaye Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu anawaangalia wanadamu kutoka mbinguni, aone kama kuna yeyote mwenye busara, kama kuna yeyote anayemtafuta Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu huwachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wo wote wanaomtafuta Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Toka mbinguni MUNGU aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye hekima, Amtafutaye Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu anawaangalia wanadamu kutoka mbinguni, aone kama kuna yeyote mwenye busara, kama kuna yeyote anayemtafuta Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawafai kitu, mapotovu yao hutapisha, anayefanya mema hayuko huko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Toka mbinguni MUNGU aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye akili, Amtafutaye Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mupumbafu anajisemesha hivi katika moyo: “Hakuna Mungu!” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mumoja anayetenda mazuri.