Psalms 55:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jioni, asubuhi na adhuhuri, nalalama na kulia, naye ataisikia sauti yangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jioni, asubuhi na adhuhuri ninalia kwa huzuni, naye husikia sauti yangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jioni, asubuhi, na adhuhuri nitalalama na kuugua, Naye ataisikia sauti yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jioni, asubuhi na adhuhuri, nalalama na kulia, naye ataisikia sauti yangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jioni, asubuhi na adhuhuri ninalia kwa huzuni, naye husikia sauti yangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jioni, asubuhi na adhuhuri ninalia kwa huzuni, naye husikia sauti yangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jioni, asubuhi, na adhuhuri nitalalama na kuugua, Naye ataisikia sauti yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jioni, asubuhi na adhuhuri, nalalama na kulia, naye ataisikia sauti yangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mimi ninamlilia Mungu, yeye Bwana ataniokoa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jioni, asubuhi, na adhuhuri nitalalama na kuugua, Naye ataisikia sauti yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mimi ninamulilia Mungu, naye Yawe ataniokoa.