Psalms 55:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ameiokoa nafsi yangu iwe salama, asinikaribie mtu, Maana walioshindana nami walikuwa wengi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huniokoa nikawa salama kutoka katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ameiokoa nafsi yangu iwe salama, asinikaribie mtu, Maana walioshindana nami walikuwa wengi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jioni na mapema na mchana kutwa na nilalamike na kupiga kite; ndipo, atakapoisikia sauti yangu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ameiokoa nafsi yangu iwe salama, asinikaribie mtu, Maana walioshindana nami walikuwa wengi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Magaribi, asubui na muchana kati, ninalalamika na kulia, naye atasikia sauti yangu.