Psalms 56:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Namtumainia Mungu, wala siogopi. Binadamu atanifanya nini?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nimemtumaini Mungu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Namtumainia Mungu, wala siogopi. Binadamu atanifanya nini?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nimemtumaini Mungu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Namtumainia Mungu, wala siogopi. Binadamu atanifanya nini?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kumwegemea Mungu sitaogopa kamwe; walio watuwatu tu wanifanyieje?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nimemtumaini Mungu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninamutumainia Mungu na kusifu neno lake; ninamutumainia Yawe na kusifu neno lake.