Psalms 6:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jicho langu limeharibika kwa masumbufu, Na kuchakaa kwa sababu yao wanaoniudhi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Macho yangu yameharibika kwa masumbufu, Na kuchakaa kwa sababu yao wanaoniudhi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Macho yangu yamenyauka kwa uchungu, yakachakaa kwa ajili yao wote wanisongao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jicho langu limeharibika kwa masumbufu, Na kuchakaa kwa sababu yao wanaoniudhi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninatabanika kwa kulia kwa uchungu; usiku ninalowanisha kitanda changu kwa machozi; kwa kulia kwangu ninalowanisha matandiko yangu.