Psalms 62:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Namngojea Mungu peke yake kwa utulivu; kwake naliweka tumaini langu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake, tumaini langu latoka kwake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nafsi yangu, umngoje Mungu peke yake kwa kimya. Tumaini langu hutoka kwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Namngojea Mungu peke yake kwa utulivu; kwake naliweka tumaini langu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake, tumaini langu latoka kwake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake, tumaini langu latoka kwake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nafsi yangu, umngoje Mungu peke yake kwa utulivu. Maana tumaini langu hutoka kwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Namngojea Mungu peke yake kwa utulivu; kwake naliweka tumaini langu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Roho yangu, umnyamazie Mungu peke yake! Kwani kwake yeye ndiko, kingojeo changu kiliko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nafsi yangu, umngoje Mungu peke yake kwa kimya. Tumaini langu hutoka kwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumepanga kuniangusha toka nafasi yangu ya heshima; furaha yenu ni kusema uongo. Kwa maneno, munabariki, lakini ndani ya moyo munalaani.