Psalms 64:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Atawaangamiza kwa sababu ya maneno yao; kila atakayewaona atatikisa kichwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndivyo watakavyokwazwa, Ulimi wao wenyewe ukishindana nao. Wote wawaonao watatikisa kichwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Atawaangamiza kwa sababu ya maneno yao; kila atakayewaona atatikisa kichwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa ajili ya ulimi wao wataangamizwa; Wote wawaonao watatetemeka kwa hofu. Wote wawaonao watatikisa kichwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Atawaangamiza kwa sababu ya maneno yao; kila atakayewaona atatikisa kichwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Mungu atakapowapiga mishale, mara watakuwa wameumia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndivyo watakavyokwazwa, Ulimi wao wenyewe ukishindana nao. Wote wawaonao watatikisa kichwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Mungu atawapiga mishale, na kuwaumiza kwa rafla.