Psalms 68:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ewe mlima mrefu, mlima wa Bashani, ewe mlima wa vilele vingi, mlima wa Bashani!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka, milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ni mlima wa Mungu mlima Bashani, Ni mlima mrefu mlima Bashani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ewe mlima mrefu, mlima wa Bashani, ewe mlima wa vilele vingi, mlima wa Bashani!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka, milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka, milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ni mlima wa Mungu mlima Bashani, Ni mlima mrefu mlima Bashani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ewe mlima mrefu, mlima wa Bashani, ewe mlima wa vilele vingi, mlima wa Bashani!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mlima wake Mungu ni mlima wa Basani, ule mlima wa Basani ulio wenye vilima huko kileleni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni mlima wa Mungu mlima Bashani, Ni mlima mrefu mlima Bashani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu Mukubwa alipowatawanya wafalme, teluji ilianguka juu ya mulima Salmoni.