Psalms 68:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
uoshe miguu katika damu ya maadui zako, nao mbwa wako wale shibe yao.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako, huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uuchovye mguu wako katika damu ya adui zako, Na ulimi wa mbwa zako upate sehemu yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
uoshe miguu katika damu ya maadui zako, nao mbwa wako wale shibe yao.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako, huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako, huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uuchovye mguu wako katika damu ya adui zako, Na ulimi wa mbwa zako upate sehemu yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
uoshe miguu katika damu ya maadui zako, nao mbwa wako wale shibe yao.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, utakapoiogesha miguu yako katika damu, nazo ndimi za mbwa wako zitapata mafungu yao kwa adui zako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uuchovye mguu wako katika damu ya adui zako, Na ulimi wa mbwa zako upate sehemu yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Bwana wetu alisema: “Nitawarudisha waadui kutoka Basani; nitawarudisha kutoka shimo la bahari,