Psalms 68:33 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
mwimbieni yeye apitaye katika mbingu, mbingu za kale na kale. Msikilizeni akinguruma kwa kishindo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu, yeye angurumaye kwa sauti kuu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Apandaye mbingu za mbingu za tangu milele; Aitoa sauti yake, sauti ya nguvu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
mwimbieni yeye apitaye katika mbingu, mbingu za kale na kale. Msikilizeni akinguruma kwa kishindo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu, yeye angurumaye kwa sauti kuu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu, yeye angurumaye kwa sauti kuu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Apandaye mbingu za mbingu za tangu milele; Aitoa sauti yake, sauti ya nguvu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
mwimbieni yeye apitaye katika mbingu, mbingu za kale na kale. Msikilizeni akinguruma kwa kishindo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ni yeye akaliaye mbingu zilizoko kule juu, nazo ni za kale, ni yeye avumishaye sauti yake, ikinguruma na nguvu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Apandaye mbingu za mbingu za tangu milele; Aitoa sauti yake, sauti ya nguvu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Enyi falme za dunia, mumwimbie Mungu, mumwimbie Bwana wetu nyimbo za sifa,