Psalms 68:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu akaaye mahali pake patakatifu, ni Baba wa yatima na mlinzi wa wajane.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baba wa yatima, mtetezi wa wajane, ni Mungu katika makao yake matakatifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Mungu katika kao lake takatifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu akaaye mahali pake patakatifu, ni Baba wa yatima na mlinzi wa wajane.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baba wa yatima, mtetezi wa wajane, ni Mungu katika makao yake matakatifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baba wa yatima, mtetezi wa wajane, ni Mungu katika makao yake matakatifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu akaaye mahali pake patakatifu, ni Baba wa yatima na mlinzi wa wajane.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ni baba yao wafiwao na wazazi, nao wajane huwaamulia, ni Mungu akaaye pake, napo ni patakatifu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Mungu katika kao lake takatifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumwimbie Mungu, musifu jina lake; mumutengenezee njia yeye anayetembea juu ya mawingu. Jina lake ni Yawe; mufurahi mbele yake.