Psalms 68:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu huwapa fukara makao ya kudumu, huwafungua wafungwa na kuwapa fanaka. Lakini waasi wataishi katika nchi kame.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, huwaongoza wafungwa wakiimba, bali waasi huishi katika nchi kame.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu huwakalisha wapweke nyumbani; Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa; Bali wakaidi hukaa katika nchi kavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu huwapa fukara makao ya kudumu, huwafungua wafungwa na kuwapa fanaka. Lakini waasi wataishi katika nchi kame.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, huwaongoza wafungwa wakiimba, bali waasi huishi katika nchi kame.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, huwaongoza wafungwa wakiimba, bali waasi huishi katika nchi kame.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu huwapa wapweke makao yao; Huwapa wafungwa uhuru na kuwafanikisha; Bali wakaidi huishi katika nchi kavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu huwapa fukara makao ya kudumu, huwafungua wafungwa na kuwapa fanaka. Lakini waasi wataishi katika nchi kame.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ni Mungu apaye wakiwa nyumba za kukaa, hutoa wafungwa kifungoni, nao wafanikiwe, lakini kwao wabishi, watakakokaa, ndiko kukavu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu huwakalisha wapweke nyumbani; Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa; Bali wakaidi hukaa katika nchi kavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu anayekaa pahali pake patakatifu, ni Baba ya wayatima na mulinzi wa wajane.