Psalms 68:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ee Mungu, ulipowaongoza watu wako, uliposafiri kule jangwani,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako, ulipopita nyikani,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ee Mungu, ulipotoka mbele ya watu wako, Ulipopita nyikani,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ee Mungu, ulipowaongoza watu wako, uliposafiri kule jangwani,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako, ulipopita nyikani,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako, ulipopita nyikani,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ee Mungu, ulipowaongoza watu wako, Ulipopita nyikani,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ee Mungu, ulipowaongoza watu wako, uliposafiri kule jangwani,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu, hapo, ulipotoka kuwatangulia wao walio ukoo wako, napo hapo, ulipokwenda kukanyaga kwenye jangwa,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ee Mungu, ulipotoka mbele ya watu wako, Ulipopita nyikani,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu anawapatia wenye ukiwa jamaa, anawafungua wafungwa na kuwapa uheri. Lakini waasi wataishi katika inchi yenye kukauka.