Psalms 69:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uwafute katika kitabu cha walio hai, wasiwemo katika orodha ya waadilifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wafutwe kutoka kitabu cha uzima na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wafutwe katika chuo cha uhai, Wala pamoja na wenye haki wasiandikwe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uwafute katika kitabu cha walio hai, wasiwemo katika orodha ya waadilifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wafutwe kutoka kitabu cha uzima na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wafutwe kutoka kitabu cha uzima na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wafutwe katika kitabu cha uhai, Wala pamoja na wenye haki wasiandikwe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uwafute katika kitabu cha walio hai, wasiwemo katika orodha ya waadilifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waache, wajiongezee manza kwa manza, wasije kufika hapo, wongofu wako ulipo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wafutwe katika chuo cha uhai, Wala pamoja na wenye haki wasiandikwe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uwaazibu kwa kila uovu wao; ukatae kabisa kuwasamehe.