Psalms 72:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anamkomboa fukara anayemwomba, na maskini asiye na wa kumsaidia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana atamkomboa mhitaji aliapo, Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anamkomboa fukara anayemwomba, na maskini asiye na wa kumsaidia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana atamkomboa mhitaji aliapo, Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anamkomboa fukara anayemwomba, na maskini asiye na wa kumsaidia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani atamwopoa maskini amliliaye, hata mnyonge akosaye mwenye kumsaidia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana atamkomboa mhitaji aliapo, Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Atamukomboa mukosefu anayemwomba, na masikini asiyekuwa na wa kumusaidia.