Psalms 72:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anawahurumia watu dhaifu na fukara, anayaokoa maisha yao wenye shida.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Atamhurumia aliye dhaifu na maskini, Na nafsi za wahitaji ataziokoa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anawahurumia watu dhaifu na fukara, anayaokoa maisha yao wenye shida.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Atawahurumia wanyonge na maskini, Na nafsi za wahitaji ataziokoa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anawahurumia watu dhaifu na fukara, anayaokoa maisha yao wenye shida.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atamhurumia akorofikaye naye mkiwa, aziokoe roho zao walio wakiwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Atamhurumia aliye dhaifu na maskini, Na nafsi za wahitaji ataziokoa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Atawahurumia wazaifu na wakosefu, atayaokoa maisha yao wenye shida.