Psalms 72:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme awatetee wanyonge wa taifa, awasaidie watoto wa fukara, na kuwaangamiza watu wadhalimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu na atawaokoa watoto wa wahitaji, ataponda mdhalimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Atawahukumu walioonewa wa watu, Atawaokoa wahitaji, atamseta mwenye kuonea.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme awatetee wanyonge wa taifa, awasaidie watoto wa fukara, na kuwaangamiza watu wadhalimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu na atawaokoa watoto wa wahitaji, ataponda mdhalimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu na atawaokoa watoto wa wahitaji, ataponda mdhalimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na atawatetea watu walioonewa, Awaokoe wahitaji, na kumwaangamiza mdhalimu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme awatetee wanyonge wa taifa, awasaidie watoto wa fukara, na kuwaangamiza watu wadhalimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walio wanyonge kwao atawaamulia, nao wana wao maskini atawaokoa, lakini wakorofi atawaponda.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Atawahukumu walioonewa wa watu, Atawaokoa wahitaji, atamseta mwenye kuonea.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme awatetee wamasikini wa taifa, awasaidie wakosefu, na kuwaangamiza watesaji.