Psalms 76:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye huzitoa roho za wakuu; huwatisha wafalme wa dunia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye huzitoa roho za wakuu; huwatisha wafalme wa dunia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye huzitoa roho za wakuu; huwatisha wafalme wa dunia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
huzikata roho zao walio wakuu, nao wafalme wa nchi huwaogopesha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumutimizie Yawe, Mungu wenu, ahadi zenu; enyi munaokuwa karibu, mumupe zawadi Mungu wa kutisha.