Psalms 78:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hawakulizingatia agano la Mungu; walikataa kufuata sheria yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawakulishika agano la Mungu, na walikataa kuishi kwa sheria yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hawakulishika agano la Mungu; Wakakataa kuenenda katika sheria yake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hawakulizingatia agano la Mungu; walikataa kufuata sheria yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawakulishika Agano la Mungu na walikataa kuishi kwa sheria yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawakulishika agano la Mungu na walikataa kuishi kwa sheria yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hawakulishika agano la Mungu; Wakakataa kufuata sheria yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hawakulizingatia agano la Mungu; walikataa kufuata sheria yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Agano la Mungu hawakulishika, wakakataa kuyafuata Maonyo yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hawakulishika agano la Mungu; Wakakataa kuenenda katika sheria yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hawakushika agano la Mungu; walikataa kufuata sheria yake.