Psalms 78:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini hata kabla ya kutosheleza hamu yao, chakula kikiwa bado mdomoni mwao,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kabla hawajamaliza kula walichokitamani, hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hawakuachana na matakwa yao. Ila chakula chao kikali ki vinywani mwao
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini hata kabla ya kutosheleza hamu yao, chakula kikiwa bado mdomoni mwao,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kabla hawajamaliza kula walichokitamani, hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kabla hawajamaliza kula walichokitamani, hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini kabla ya kuitosheleza shauku yao, Huku chakula kikiwa bado kinywani mwao,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini hata kabla ya kutosheleza hamu yao, chakula kikiwa bado mdomoni mwao,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini hizo tamaa zao hawakuziacha, hivyo vilaji vyao vilipokuwa vikingalimo vinywani mwao bado.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hawakuachana na matakwa yao. Ila chakula chao kikali ki vinywani mwao
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mbele ya kukata hamu yao, chakula kilipokuwa kingali katika kinywa,