Psalms 78:36 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini walimdanganya kwa maneno yao; kila walichomwambia kilikuwa uongo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, wakisema uongo kwa ndimi zao,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, Wakamwambia uongo kwa ndimi zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini walimdanganya kwa maneno yao; kila walichomwambia kilikuwa uongo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, wakisema uongo kwa ndimi zao,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, wakisema uongo kwa ndimi zao,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, Wakamwambia uongo kwa ndimi zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini walimdanganya kwa maneno yao; kila walichomwambia kilikuwa uongo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini hata hapo walimdanganya na vinywa vyao, nazo ndimi zao zikamwongopea;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, Wakamwambia uongo kwa ndimi zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini walimudanganya kwa maneno yao; walimwambia uongo.