Psalms 78:37 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hawakuambatana naye kwa moyo, hawakuwa waaminifu kwa agano lake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
mioyo yao haikuwa thabiti kwake, wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, Wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hawakuambatana naye kwa moyo, hawakuwa waaminifu kwa agano lake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
mioyo yao haikuwa thabiti kwake, wala hawakuwa waaminifu katika Agano lake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
mioyo yao haikuwa thabiti kwake, wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, Wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hawakuambatana naye kwa moyo, hawakuwa waaminifu kwa agano lake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nayo mioyo yao haikumwelekea, wala Agano lake hawakulitegemea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, Wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hawakuambatana naye kwa moyo, hawakukuwa waaminifu kwa agano lake.