Psalms 78:47 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, na mitini yao kwa baridi kali.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, Na mikuyu yao kwa mawe ya barafu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, na mitini yao kwa baridi kali.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, Na mikuyu yao kwa mawe ya barafu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, na mitini yao kwa baridi kali.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mizabibu yao akaivunja kwa mvua ya mawe, kwa hiyo mvua ya mawe ikafa nayo mikuyu yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, Na mikuyu yao kwa mawe ya barafu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, na mitini yao kwa baridi kali.