Psalms 78:55 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliyafukuza mataifa mbele yao, akazitoa nchi zao ziwe mali ya Israeli, akayakalisha makabila ya Israeli mahemani mwao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Aliyafukuza mataifa mbele yao, na kuwagawia nchi zao kama urithi, aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha kabila za Israeli katika hema zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliyafukuza mataifa mbele yao, akazitoa nchi zao ziwe mali ya Israeli, akayakalisha makabila ya Israeli mahemani mwao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Aliyafukuza mataifa mbele yao, na kuwagawia nchi zao kama urithi, aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Aliyafukuza mataifa mbele yao, na kuwagawia nchi zao kama urithi, aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliyafukuza mataifa mbele yao, akazitoa nchi zao ziwe mali ya Israeli, akayakalisha makabila ya Israeli mahemani mwao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawafukuza wamizimu mbele yao, akawaagiza kugawiana nchi zao kwa kuzipigia kura, kila apate fungu lake, ndilo liwe urithi wake, akayakalisha mashina ya Isiraeli katika mahema yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha kabila za Israeli katika hema zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alifukuza mataifa mbele yao, akatoa inchi zao zikuwe mali ya Israeli, akaikalisha makabila ya Israeli katika mahema zao.