Psalms 78:65 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Bwana alipoamka kama kuamka usingizini, kama shujaa anavyoamka kutoka bumbuazi la mvinyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele sababu ya mvinyo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini, kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini, kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Bwana aliamka kama mtu aliyelala usingizi, kama mwenye nguvu anayepiga shangwe akiondoka kwenye mvinyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele sababu ya mvinyo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Bwana aliamuka kama kutoka katika usingizi, kama shujaa aliyechangamushwa na divai.