Psalms 78:66 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akawatimua maadui zake; akawatia aibu ya kudumu milele.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Aliwapiga na kuwashinda adui zake, akawatia katika aibu ya milele.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawapiga watesi wake akawarudisha nyuma, Akawatia aibu ya milele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akawatimua maadui zake; akawatia aibu ya kudumu milele.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Aliwapiga na kuwashinda adui zake, akawatia katika aibu ya milele.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Aliwapiga na kuwashinda adui zake, akawatia katika aibu ya milele.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawapiga watesi wake akawarudisha nyuma, Akawatia aibu ya milele.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akawatimua maadui zake; akawatia aibu ya kudumu milele.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawapiga waliowasonga, akawarudisha nyuma, nayo masimango ya kale na kale ndiyo, aliyowapatia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawapiga watesi wake akawarudisha nyuma, Akawatia aibu ya milele.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akawashinda waadui zake; akawafezehesha kwa milele.