Psalms 78:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ili wamwekee Mungu tumaini lao, wasije wakasahau matendo ya Mungu, bali wazingatie amri zake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao hawangesahau matendo yake, bali wangezishika amri zake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wamwekee Mungu tumaini lao. Wala wasiyasahau matendo ya Mungu, Bali wazishike amri zake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ili wamwekee Mungu tumaini lao, wasije wakasahau matendo ya Mungu, bali wazingatie amri zake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao wasingesahau matendo yake, bali wangalizishika amri zake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao wasingesahau matendo yake, bali wangalizishika amri zake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wamwekee Mungu tumaini lao. Wala wasiyasahau matendo ya Mungu, Bali wazishike amri zake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ili wamwekee Mungu tumaini lao, wasije wakasahau matendo ya Mungu, bali wazingatie amri zake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wapate kumwegemea Mungu na kumjetea, wasizisahau kazi zake Mungu, wayashike maagizo yake,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wamwekee Mungu tumaini lao. Wala wasiyasahau matendo ya Mungu, Bali wazishike amri zake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kusudi wamwekee Mungu tumaini lao, wasipate kusahau matendo ya Mungu, lakini washike amri zake,