Psalms 78:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu wa Efraimu, pinde na mishale mkononi, walirudi nyuma, wakakimbia siku ile ya vita.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde, walikimbia siku ya vita.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde, Walirudi nyuma siku ya vita.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu wa Efraimu, pinde na mishale mkononi, walirudi nyuma, wakakimbia siku ile ya vita.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde, walikimbia siku ya vita,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde, walikimbia siku ya vita.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde, Walirudi nyuma siku ya vita.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu wa Efraimu, pinde na mishale mkononi, walirudi nyuma, wakakimbia siku ile ya vita.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Efuraimu walikuwa mafundi wa kupiga mishale, lakini siku ya kupiga vita walirudi nyuma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde, Walirudi nyuma siku ya vita.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wa Efuraimu, pinde na mishale katika mukono, walirudi nyuma, wakakimbia siku ile ya vita.