Psalms 83:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ambao walisema: “Tutajitekea nchi ya Mungu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambao walisema, “Na tumiliki maeneo ya malisho ya Mungu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ambao Walisema, Na tutamalaki makao ya Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ambao walisema: “Tutajitekea nchi ya Mungu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambao walisema, “Na tumiliki nchi ya malisho ya Mungu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ambao walisema, “Na tumiliki nchi ya malisho ya Mungu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ambao Walisema, Na tutamalaki makao ya Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ambao walisema: “Tutajitekea nchi ya Mungu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndio waliosema: Na tuyateke makao yake Mungu, yawe yetu sisi!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ambao Walisema, Na tutamalaki makao ya Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uwatendee wakubwa na watawala wao kama Kibombobombo na Mbwa wa Pori, kama Sadaka na Kivuli,