Psalms 89:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
hapo nitawaadhibu makosa yao; nitawapiga kwa sababu ya uovu wao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, nitawarudi makosa yao kwa fimbo, Na uovu wao kwa mapigo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
hapo nitawaadhibu makosa yao; nitawapiga kwa sababu ya uovu wao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, nitawarudi makosa yao kwa fimbo, Na uovu wao kwa mapigo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
hapo nitawaadhibu makosa yao; nitawapiga kwa sababu ya uovu wao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wakiyapinga maongozi yangu, wasiyaangalie maagizo yangu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, nitawarudi makosa yao kwa fimbo, Na uovu wao kwa mapigo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kama wakivunja masharti yangu, na kuacha kutii amri zangu,