Psalms 97:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mawingu na giza nene vyamzunguka; uadilifu na haki ni msingi wa utawala wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mawingu na giza nene vinamzunguka, haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mawingu na giza vyamzunguka, Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mawingu na giza nene vyamzunguka; uadilifu na haki ni msingi wa utawala wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mawingu na giza nene vinamzunguka, haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mawingu na giza nene vinamzunguka, haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mawingu na giza vyamzunguka, Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mawingu na giza nene vyamzunguka; uadilifu na haki ni msingi wa utawala wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mawingu yenye giza yanamzunguka, shikizo la kiti chake cha kifalme ni wongofu unyoshao maamuzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mawingu na giza vyamzunguka, Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mawingu na giza nzito vinamuzunguka; haki na sheria ni musingi wa utawala wake.