Revelation 1:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, uyaandike mambo hayo uliyoyaona, nayo yaliyopo, na yale yatakayokuwa baada ya hayo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo andika unachokiona. Yaandike mambo yanayotokea sasa na mambo yatakayotokea baadaye.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, uyaandike mambo hayo uliyoyaona, nayo yaliyopo, na yale yatakayokuwa baada ya hayo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Basi, yaandike mambo, uliyoyaona, nayo yaliyopo nayo yatakayokuwapo, haya yatakapokwisha!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, uyaandike mambo hayo uliyoyaona, nayo yaliyopo, na yale yatakayokuwa baada ya hayo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi uandike mambo unayoona, na mambo yanayokuwa sasa na yale yatakayotokea nyuma.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi, yaandike mambo uliyoyaona, nayo yatakayokuwa baada ya hayo.