Revelation 12:2 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alikuwa mjamzito, naye akapaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alikuwa na mimba naye akilia kwa uchungu kwa kuwa alikuwa anakaribia kuzaa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye alikuwa ana mimba, akilia, hali ana utungu na kuumwa katika kuzaa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Alikuwa na mimba na alilia kwa uchungu kwa sababu alikuwa karibu ya kuzaa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alikuwa mjamzito, naye akapaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alikuwa na mimba naye akilia kwa uchungu kwa kuwa alikuwa anakaribia kuzaa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alikuwa na mimba naye akilia kwa uchungu kwa kuwa alikuwa anakaribia kuzaa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye alikuwa ana mimba, akilia, akiwa na uchungu na kuumwa katika kuzaa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alikuwa mjamzito, naye akapaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuwa ana mimba, akalia kwa kuona uchungu na maumivu ya kuzaa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye alikuwa ana mimba, akilia, hali ana utungu na kuumwa katika kuzaa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwanamuke yule alikuwa mimba, naye alikuwa akilia kwa sababu ya uchungu na maumivu ya kuzaa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nae alikuwa ana mimba, akilia, akiwa ana utungu na kuumwa katika kuzaa.