Revelation 18:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. Furahini watu wa Mungu, mitume na manabii! Kwa maana Mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda nyinyi!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Furahia kwa ajili yake, ee mbingu! Furahini watakatifu, mitume na manabii! Mungu amemhukumu kwa vile alivyowatendea ninyi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Furahini juu yake, enyi mbingu, nanyi watakatifu na mitume na manabii; kwa maana Mungu amehukumu hukumu yenu juu yake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ufurahi kwa sababu ya hili, Ee mbingu! Furahini, watakatifu wa Mungu, mitume na manabii! Mungu amemhukumu kwa sababu ya kile alichowatendea ninyi.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. Furahini watu wa Mungu, mitume na manabii! Kwa maana Mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda ninyi!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. Furahini watu wa Mungu, mitume na manabii! Kwa maana Mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda nyinyi!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Furahia kwa ajili yake, Ee mbingu! Furahini watakatifu, mitume na manabii! Kwa kuwa Mungu amemhukumu kwa vile alivyowatendea ninyi.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Furahia kwa ajili yake, ee mbingu! Furahini watakatifu, mitume na manabii! Mungu amemhukumu kwa vile alivyowatendea ninyi.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Furahini juu yake, enyi mbingu, na enyi watakatifu, mitume na manabii; kwa maana Mungu ametoa hukumu kwa ajili yenu juu yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. Furahini watu wa Mungu, mitume na manabii! Kwa maana Mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda nyinyi!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Shangilieni kwa ajili yake, enyi mbingu, nanyi watakatifu na mitume na wafumbuaji! Kwani Mungu ameulipiza mapatilizo yenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Furahini juu yake, enyi mbingu, nanyi watakatifu na mitume na manabii; kwa maana Mungu amehukumu hukumu yenu juu yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Enyi mbingu, nanyi watu wa Mungu pamoja na mitume na manabii wake, mufurahi kwa ajili ya mambo yaliyotokea muji ule, kwa maana Mungu amewapatia haki yenu kwa kuuhukumu!
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Furahini juu yake, enyi mbingu, na ninyi watakatifu na mitume na manabii, kwa maana Mungu amehukumu hukumu yenu juu yake.