Revelation 22:7 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na tazama, naja upesi; heri yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
‘Sikiliza, Naja upesi! Heri anayetii maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.’”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tazama, naja upesi; heri yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama, ninakuja upesi! Mwenye shangwe ndiye atakayeyashika maneno ya ufumbuo wa kitabu hiki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na tazama, naja upesi; heri yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu anasema: “Sikiliza, ninakuja upesi! Heri yule anayeshika maneno ya unabii yanayoandikwa katika kitabu hiki!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Tazama, naja upesi; yu kheri yeye ayashikae maneno ya unabii wa kitabu hiki.