Romans 1:2 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo kale, Mungu aliwaahidi watu hii Habari Njema kwa njia ya manabii wake katika Maandiko Matakatifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Injili ambayo Mungu alitangulia kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika Maandiko Matakatifu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa kinywa cha manabii wake katika maandiko matakatifu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tangu zamani, kwa vinywa vya manabii katika Maandiko Matakatifu, Mungu aliahidi kwamba angewaletea Habari Njema watu wake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hapo kale, Mungu aliwaahidia watu hii Habari Njema kwa njia ya manabii wake katika Maandiko Matakatifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo kale, Mungu aliwaahidi watu hii Habari Njema kwa njia ya manabii wake katika Maandiko Matakatifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Injili ambayo Mungu alitangulia kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika maandiko matakatifu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Injili ambayo Mungu alitangulia kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika Maandiko Matakatifu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa kinywa cha manabii wake katika Maandiko Matakatifu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo kale, Mungu aliwaahidi watu hii Habari Njema kwa njia ya manabii wake katika Maandiko Matakatifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huo aliuagia kale kwa vinywa vya Wafumbuaji wake waliouandika katika barua takatifu;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa kinywa cha manabii wake katika maandiko matakatifu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Habari Njema hiyo iliahidiwa na Mungu tangu zamani kwa kinywa cha manabii wake katika Maandiko Matakatifu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika maandiko matakatifu,