Romans 1:31 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ni wapumbavu, hawatimizi ahadi zao. Hawawaoneshi wema wala huruma wengine.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawana utambuzi wala welekevu wala upendo wala huruma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
hawana zamiri, hawawezi kuaminiwa, hawana upendo wala huruma.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema,