Romans 10:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Mwenyezi Mungu, ataokolewa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndiyo, “kila mtu anayemwita Bwana ili kupata msaada, ataokolewa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokoka.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana Mwenyezi, ataokolewa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani; Kila atakayelitambikia Jina la Bwana ataokoka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Kila mutu anayemusihi Bwana, ataokolewa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa kuwa killa atakaemwita Bwana kwa Jina lake ataokoka.