Romans 11:21 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, wala hatakuachia wewe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ikiwa Mungu hakuyaacha matawi ya asili ya mti huo yawepo, hataweza kuwaacha ninyi muwepo mtakapoacha kuamini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, wala hatakuachia wewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mungu kama asivyoyaonea uchungu yale matawi yaliyochipukia mlemle, hata wewe hatakuonea uchungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, wala hatakuachia wewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana ikiwa Mungu hakuachilia yale matawi ya asili kuendelea kukomaa, namna gani atakuachilia wewe?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, wala hatakuachia wewe.