Romans 11:27 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hili ndilo agano langu nao nitakapoziondoa dhambi zao.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nami nitalifanya patano hili na watu wale nitakapoziondoa dhambi zao.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hili ndilo Agano langu nao nitakapoziondoa dhambi zao.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hili ndilo agano langu nao nitakapoziondoa dhambi zao.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nalo hili ni agano, ninalolifanya nao: Nitayaondoa makosa yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na hili ndilo agano nitakalofanya nao, wakati nitakapowasamehe zambi zao.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.