Romans 11:35 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Au ni nani aliyempa chochote ili arudishiwe?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
“Nani amewahi kumpa Mungu kitu chochote? Mungu hadaiwi kitu chochote na mtu yeyote.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Au ni nani aliyempa cho chote ili arudishiwe?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Au ni nani aliyempa chochote ili arudishiwe?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Au yuko nani aliyeanza kumpa kitu, apate kulipwa naye?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni nani anayeweza kumupa Mungu kitu kwanza, kusudi naye apate kumurudishia?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, nae atalipwa?