Romans 13:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, upendo ni utimilifu wa sheria.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Upendo hauwaumizi wengine. Hivyo kupenda ni sawa na kuitii sheria yote.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, upendo ni utimilifu wa sheria.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa Sheria.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, upendo ni utimilifu wa sheria.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ukimpenda mwenzio huwezi kumfanyia kiovu. Kwa hiyo kupendana ndiko kuyatimiza Maonyo.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayemupenda mwenzake hawezi kumutendea vibaya. Basi Sheria inatimizwa kwa njia ya upendo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Peudo halimfanyizii jirani neno baya; bassi pendo ndio utimilifu wa sharia.