Romans 14:1 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Iweni tayari kuwakubali wenye mashaka kuhusu yale ambayo waamini wanaweza kufanya. Tena msibishane nao kuhusu mawazo yao tofauti.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, lakini msimhukumu mawazo yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliye mnyonge wa kumtegemea Bwana mpokeeni pasipo kubishana naye mawazo ya moyo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumupokee yule anayekuwa zaifu katika imani pasipo kubishana naye juu ya mawazo yake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
LAKINI yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, illakini msimhukumu mawazo yake.