Romans 14:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja juu yake mwenyewe mbele ya Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa habari zake mwenyewe mbele za Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo kila mmoja wetu ataeleza kuhusu matendo yake mbele za Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja yake mbele ya Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja juu yake mwenyewe mbele ya Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mwenyezi Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa habari zake mwenyewe mbele za Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja juu yake mwenyewe mbele ya Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Basi, kwa hiyo sisi sote kila mmoja atajisemea mwenyewe mbele ya Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa habari zake mwenyewe mbele za Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo kila mumoja kati yetu atajitetea mwenyewe kwa Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi kama ni hivyo, killa mtu miongoni mwetu atatoa khabari za nafsi yake mbele za Mungu.