Romans 14:18 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Al-Masihi kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yeyote anayemtumikia Kristo kwa kuishi namna hii anampendeza Mungu na ataheshimiwa na wengine.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa sababu mtu ye yote anayemtumikia Kristo kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Al-Masihi kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani anayemtumikia Kristo na kuyatenda mambo haya humfalia Mungu, tena hupendwa na watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na yeyote anayemutumikia Kristo kwa njia hiyo anamupendeza Mungu, naye anapata kuwa mwenye kustahili mbele ya watu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa kuwa yeye amtumikiae Kristo katika mambo haya humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wana Adamu.