Romans 14:19 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo na tufanye bidii kutafuta yale yaletayo amani na kujengana sisi kwa sisi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo tujitahidi kwa kadri tuwezavyo kufanya kile kinacholeta amani. Tufanye kile kitakachomsaidia kila mtu kujengeka kiimani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo na tufanye bidii kutafuta yale yaletayo amani na kujengana sisi kwa sisi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo na tufanye bidii kutafuta yale yaletayo amani na kujengana sisi kwa sisi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Basi, kwa hiyo tukaze kuyafuata mambo yanayopatanisha, ni yaleyale yanayotujenganisha!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi kwa hiyo tujikaze sana kufanya mambo yale yanayoleta amani na yanayotusaidia kujengana katika imani.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi kama ni hivyo, tufuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.