Romans 14:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna hata mmoja wetu afaye kwa ajili yake mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu hakuna mtu miongoni mwetu aishiye kwa nafsi yake, wala hakuna afaye kwa nafsi yake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hatuishi au kufa kwa ajili yetu sisi wenyewe tu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna hata mmoja wetu afaye kwa ajili yake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna hata mmoja wetu afaye kwa ajili yake mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu hakuna mtu miongoni mwetu aishiye kwa nafsi yake, wala hakuna afaye kwa nafsi yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kwetu hakuna anayejikalia mwenyewe, wala hakuna anayejifia mwenyewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu hakuna mtu miongoni mwetu aishiye kwa nafsi yake, wala hakuna afaye kwa nafsi yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana hakuna hata mutu mumoja kati yetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa sababu hapana mtu miongoni mwenu aishiye kwa nafsi yake, wala hapana afae kwa nafsi yake.